• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

BARAZA LA MADIWANI KUJADILI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI ROBO YA TATU KIPINDI CHA JAN - MACHI, 2024

Posted on: May 12th, 2024

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba limeketi na kupitisha taarifa za utekelezaji na miradi ya maendeleo kwa kipindi Cha robo ya tatu 2023/2024. Pamoja na mambo mengine ya utekelezaji wa Halmashauri.

Aidha Baraza la leo limeshuhudia Diwani Mteule wa kata ya Kamwene Mhe. Zugumbwa G. Mbaruku  akiapishwa na Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mngeta  na kuanza rasmi majukumu yake baada  kuchaguliwa  kufuatia kifo Cha aliyekuwa Diwani wa kata hiyo ambapo Baraza limempokea na kumpongeza Diwani huyo.

Baraza la Madiwani limempongeza na kumshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwajali na kuwapatia mahitaji wananchi waliopata maafa kutokana na mafuriko hususani katika kata ya Masagati na Utengule. Pamoja na mambo mengine, Baraza limefanya mabadiliko ya ushuru wa Mchele kutoka bei ya shilingi 4500 Hadi 3000 kwa kueleza kuwa sasa bei ya Mchele imeshuka tofauti na hapo awali ilipokuwa juu.

Menejimenti ilipokea maelekezo ya Baraza la madiwani na kuahidi kuyafanyia kazi kulingana na Sheria Ndogo za Halmashauri pamoja na Sheria ya mapato ambayo inataka ushuru utozwe sio zaidi ya asilimia tatu ya Bei ya soko.

Kwa upande Mwingine, Baraza limeelekeza Menejimenti kuhakikisha wanakamilisha kazi ya kuzungumza na wawekezaji juu ya mashamba ya Halmashauri yaliyoko kata ya Masagati na Utengule ili kuwekeza na Halmashauri ipate mapato.

Mhe. Innocent Mwangasa Mwenyekiti wa Halmashauri ameelekeza Mpango wa Halmashauri kuendeleza vipaji vya Wananchi wa Halmashauri kwa kuhakikisha kila Diwani ahakikishe Michezo, Sanaa na Utamaduni inafanyika kwa kila kata na vile vipaji vinavyofanya vizuri viwekewe Mpango mkakati wa kuviendeleza katika tasnia zao ili kuwezesha Vijana kuweza kujiajiri na kuajiriwa.

Mhe. Makao Diwani kata ya Masagati ameendelea kutoa shukrani za dhati kwa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapatia mahitaji ya Chakula wananchi wa kata ya Masagati waliokumbwa na a-dhia ya mafuriko, pia amemshukuru Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Godwin Kunambi @godwin_kunambi  Mbunge wa Jimbo la Mlimba, Mhe. Adam Kighoma Malima Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dunstan Kyobya @kyobyad @dc.kilombero Mkuu wa Wilaya Kilombero pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali.

Pia, Mkuu wa Kituo cha Polisi Mngeta Afande Dotto amehakikisha hali ya Usalama inaendelea vizuri katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba na kuwasisitiza zaidi wananchi wa kata ya Mngeta na Mchombe kufata sheria na taratibu na kwa kipindi hiki kumezuka tabia hatarifu ya Ubakaji kwa maeneo hayo na kuhakikisha Askari Polisi wapo Imara kuhakikisha vitendo vyote viovu vinatokomezwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    February 28, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA-MLIMBA

    February 08, 2025
  • MLIMBA YAPOKEA MRADI WA MIAKA 5 WA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    February 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa