• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Bonanza la TAYOA lafana Chita - Kilombero

Posted on: September 22nd, 2018

Pichani juu: mkuu wa wilaya Ndg James Ihunyo (aliyemshika mtoto) akiwa na wakaazi mbalimbali wa eneo la Chita waliojitokeza katika Tamasha la TAYOA, mapema jana.

Shirika lisilo la kiserikali la TAYOA mapema mwishoni mwa wiki hii, limefanya Tamasha kubwa sana la kihistoria, katika Halmashauri ya wilaya ya Kilombero katika kata ya Chita, kwa lengo la kuwaleta karibu wasichana balehe na kuwafunza kuhusu namna ya kujielewa kwenye maisha yao.

Tamasha hilo lililoambatana na upimaji wa virusi vya UKIMWI na michezo mbalimbali ikiwamo kukimbiza kuku kwa wasichana, kuvuta kamba kwa wasichana, kukimbia na magunia kwa wasichana na mpira wa miguu uliowahusisha wasichana na wavulana lilifana sana na kuteka hisia za wakazi wengi sana wa eneo hilo.

Katika kuonyesha kuwa tamasha hilo limefanikiwa, walijitokeza vijana wengi sana kutoka maeneo ya jirani na hata vitongoji vya mbali huko, lengo likiwa ni kupata ujumbe, kungalia afya zao bure na kuburudika kutokana nay ale ambayo yalikuwa yameandaliwa na asasi hii kwa kushirikiana na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero.

 Akizungumza katika Bonanza hilo mkuu wa wilaya ya Kilombero ndugu James Ihunyo, ambae ndie aliyekuwa mgeni rasmi, amesema kuwa, anawapongeza sana hawa TAYOA kwa kuamua kuja kulifanyia tamasha hilo huko Chita, kwani itasaidia sana kuwapa fursa za watu kuweza kujua afya zao, na kuwapa nafasi ya kuamua juu ya maisha yao.

Akizungumzia tamasha hilo, mratibu wa UKIMWI wa wilaya ya Kilombero bi Hawa Mdoka amesema kuwa, vijana wengi wamekuwa katika hatari ya kupata maambukizi pasipo kuwa na utambuzi wowote ama kudharau tu, hivyo basi kampani hii ipo mahsusi kwaajili ya kuwazindua vijana waondokane na matatizo hayo ambayo ni janga kubwa sana la kitaifa.

Nae mratibu wa Bonanza hilo ndugu Adam ameongeza kuwa, kuna umuhimu mkubwa sana wa watoto wa kike na vijana kwa ujumla kujitambua kuwa wao ni kina nani hususan pale wanapokuwa wamefikia umri wa ukuwbwa, hivyo ni bora kila kitu kikawa sawa mapema kwenye suala zima la kujitambua, kabla mambo hayajawa mabaya kwa vijana hao.

Mwisho kabisa akitoa zawadi na kutambulisha baadhi ya vitu katika asasi hiyo, mkurugenzi wa asasi hiyo ya Vijana ya TAYOA ndugu Peter Msika alisema kuwa, kutokana na ushirikiano waliouonyesha wana Kilombero kwa kujitokeza kwa wingi na kufanya upimaji kwa zaidi ya aislimia 85 ya wakazi wa eneo hilo kulingana na takwimu zake, ameamua kuleta tena tamasha hilo mnamo mwezi wa kumi na moja huku akiongeza zawadi na burudani zaidi kwa wakazi wa eneo hilo

 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA MWAKA 2025 November 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MAANDISHI WA MAAFISA UGANI KWA AJILI YA MRADI WA MIFUMO YA CHAKULA, MARUMIZI YA ARDHI NA UREJESHAJI WA MAZINGIRA (FOLUR) KATIKA HALMASHAURI YA MLIMBA December 06, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA YAPOKEA WAAJIRIWA 118

    January 20, 2026
  • HALMASHAURI YA MLIMBA YAKEMEA UCHIMBAJI HOLELA WA VIFUSI NA UHARIBIFU WA MTO MNGETA, YAAHIDI KUDHIBITI NYANI WAHARIBIFU KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA KIBURUBUTU

    January 19, 2026
  • MRADI WA FOLUR KUANZA KUTEKELEZWA KWA VITENDO

    January 18, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA IMEFANYA MKUTANO WA ROBO YA PILI, WA BARAZA LA MADIWANI

    January 18, 2026
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto
  • situs toto