• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Dkt Magufuli aapa kuiongoza tena Tanzania

Posted on: November 5th, 2020

Rais mteule wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mapema leo ameapishwa na Jaji mkuu wa Tanzania, katika viwanja vya jamhuri Dodoma kuw Rais wa nchi hii kwa mara ya pili katika awamu yake

Dkt. Magufuli amewashukuru sana wakaazi wa Dodoma kwa ushirikiano mkubwa sana alioupata kutoka kwao na watanzania kwa ujumla.

Amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi kimepata ushindi mkubwa kutokana na baraka za wana Dodoma kwa sababu uzinduzi na kilele cha kampeni za uchaguzi mkuu zilifanyika Jijini Dodoma. “Yote tuliyoahidi tutayashughulikia ikiwemo ujenzi wa barabara ya mzunguko, sababu msongamano umeanza kuonekana Dodoma” aliongeza Rais huyo.

Akitoa salamu kwa niaba ya wananchi wa Jamhuri ya Comoro, Rais wa nchi hiyo, Azali Assoumani alimuomba Mungu kumsaidia sana Rais, Dkt. Magufuli kutekeleza kazi aliyopewa na watanzania kwa ufanisi.

“Nachukua nafasi hii kuwapongeza wananchi wa Tanzania kukamilisha salama mchakato wa uchaguzi, nawashukuru kwa uwepo wao hapa. pia ninamuomba mungu kumsaidia Dkt Magufuli kutekeleza kazi aliyopewa na watanzania” alisema Rais Assoumani.

Nae, Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa alisema “naleta salamu nyingi kutoka kwa wananchi wa Zimbabwe. Tunamshukuru Rais, Dkt. Magufuli alifanya ziara nchini Zimbabwe. Na wakati wa ukame mkali, Rais Dkt. Magufuli alitupatia msaada wa mahindi kwa Wazimbabwe. Huyu ni kiongozi mzalendo katika ukanda huu”.

Wakati huohuo, Mwanazuoni na Mhadhiri wa Sheria kutoka Kenya, Prof. Patrick Loch Otieno Lumumba kupitia televisheni ya TBC amempongeza Rais, Dkt. Magufuli na CCM kwa ushindi mkubwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Prof. Lumumba ametoa tahadhari kuwa makini na wafadhili wavurugaji nchi za kiafrika. “Katika nchi za kiafrika, tuwe wepesi kujiepusha na wafadhili wenye lengo la kuvuruga nchi za Afrika. Tatizo la nchi za Afrika ni kutotofautisha upinzani na ubabaishaji. Tuhakikishe tunaendesha siasa ambazo zinalinda usalama wetu” amesema Prof. Lumumba kwa msisitizo.

Habari katika picha





Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa