• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Halmashauri ya wilaya ya Kilombero kuhamia Mngeta

Posted on: October 16th, 2019

Pichani juu: mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero ndg David Ligazio (kulia) pamoja na makamu mwenyekiti Hilda Mahimbali (kushoto) wakifuatilia hoja za wajumbe kwenye baraza la madiwani

BARAZA la madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Kilombero limetekeleza agizo la serikali na kuamua kata ya Mchombe tarafa ya Mngeta kuwa Makao makuu yake mapya ya halmashauri.

 Tamko hilo limetolewa jana katika kikao cha dharura cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Ifakara na kusema kuwa kuanzia sasa Makao yao makuu yatakuwa Mngeta hivyo shughuli zote za kiofisi zitahamia katika eneo hilo.

 Ikumbukwe kuwa Oktoba 7 mwaka huu kupitia Waziri Wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na serikali za mitaa Seleman Jafo alizitaka halmashauri 31 ambazo ofisi zake zipo nje ya maeneo yao ya Utawala kuhamishia ofisi hizo katika maeneo yao ya Utawala.

 Katika taarifa hiyo Waziri Jafo aliziagiza halmashauri hizo kwenda maeneo yao ndani ya siku 30 na agizo hilo lilianza kutekelezwa kuanzia Agosti 7 mwaka huu.

 Katika utekelezaji huo halmashauri ya Wilaya ya Kilombero ni moja ya halmashauri hizo na hivyo kuamua kutekeleza agizo la serikali katika utekelezaji.

 Mwenyekiti Wa halmashauri hoyo David Ligazio alisema kufuatia maagizo hayo kuanzia Leo Mji Mkuu Wa halmashauri hiyo utakwenda Mngeta na kuwataka watendaji na watumishi kutekeleza agizo la baraza.

 Ligazio alisema ameiomba serikali kuwapatia majengo ya iliyokuwa ofisi ya ushirika baina ya Korea na Tanzania(KOTAKO) ili kuwa ofisi za muda za halmashauri hiyo.

 Ligazio alisema kuanzia sasa vikao vyote vya halmashauri vitafanyikihamie ta na kuagiza menejimenti kufanikisha suala hilo.

 Aidha Ligazio amesema Mali zote za halmashauri hiyo ambazo zitabaki katika halmashauri ya Mji Wa Ifakara inabidi ziendelee kutambuliwa japo zipo nje ya halmashauri hiyo.

 Awali mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri hiyo Mhandisi Stephano Kaliwa alisema timu ya menejimenti ilipendekeza Makao makuu ya halmashauri ihamie kijiji cha Sagamaganga kata ya Signal kwa sababu ya kijiografia kijiji kipo eneo zuri kistratejia kwa kuwahudumia wananchi Wa majimbo yote mawili ya Mlimba na Kilombero.

 Mhandisi Kaliwa alisema kijiji cha Sagamaganga kuna Kituo cha upashanaji habari kilicho chini ya ofisi ya Kilimo na jengo linafaa kuwa ofisi za muda za mkurugenzi pamoja na wakuu Wa idara na pia pana eneo Kubwa la ekari 9.

Hata hivyo kikao cha  kamati ya Fedha na mipango kilichoketi Oktoba 15 wajumbe walipendekeza Makao makuu yahamie tarafa ya Mngeta kata ya Mchombe kwa sababu eneo la tarafa lina watu wengi kwa kuwa kuna kata 16 tofauti na upande Wa Kidatu una Kata  10 na pia eneo hilo litawezesha watendaji kuwa karibu na wananchi zaidi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC KYOBYA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WA KATA, VIJIJI NA WAKUSANYA MAPATO WA MLIMBA DC

    July 15, 2025
  • BILIONI 1.25 YAPOKELEWA MLIMBA DC KUJENGA MIUNDOMBINU SHULE ZA MSINGI

    July 15, 2025
  • MLIMBA YAPOKEA CHANJO NA HERENI KWA AJILI YA MIFUGO

    July 10, 2025
  • MLIMBA YAPANGIWA WAAJIRIWA WAPYA 73

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa