• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Halmashauri ya wilaya ya Kilombero yapokea Shilingi Milioni 700

Posted on: October 30th, 2018

SERIKALI kuu imeipatia kiasi cha shilingi milioni 700 halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kwa ajili ya kuboresha vituo vya Afya na kununulia vifaa tiba.

Mwenyekiti Wa halmashauri hiyo David Ligazio aliyasema hayo katika kikao cha baraza LA madiwani Wa halmashauri hiyo kilichofanyika jana mjini Ifakara.

Ligazio amesema serikali ya awamu ya tano inaendelea kutoa huduma nzuri kwa wananchi katika halmashauri hiyo na moja ya jukumu kubwa ni kuboresha huduma za Afya kwa wananchi wake.

Amesema katika Fedha hizo shilingi milioni 500 zimetolewa kwa ajili ya kuboresha vituo vya Afya na kiasi cha shilingi milioni 200 zimeelekezwa katika upatikanaji Wa vifaa tiba.

Mwenyekiti huyo amesema Fedha hizo zimetolewa mwaka huu na hata mwaka Jana walipewa Fedha ambazo zilipelekwa kuboreshwa katika kituo cha Afya cha Mlimba ila mwaka huu watapanga wamepeleke kwenye Kituo kipi hapo baadae.

Amesema wamepewa wiki Mbili ili kupata utekelezaji Wa Fedha hizo na watatumia mfumo Wa "force account" ili kutumia Fedha hizo na ameahidi kuwa matumizi yake yatakwenda sawia na maelekezo toka serikalini.

Ligazio amebainisha kuwa Fedha hizo kiasi cha shilingi milioni 700 zipo nje ya zile Fedha zinazopelekwa kila baada ya miezi mitatu katika vituo vya Afya na kusema kuwa kwa sasa halmashauri ina vituo vya Afya vinne ambavyo ni Mlimba,Mngeta,Mang'ula na Mgudeni.

Katika hatua nyingine baraza hilo limeazimia kumtimua kazi Ramadhani Kazimoto ambaye alikuwa Dereva Wa halmashauri hiyo baada ya kubainika kuwa alitumia vyeti feki wakati Wa ajira yake na hiyo imetokana na zoezi lililoendeshwa na serikali kuu hivi karibuni.

Pia baraza hilo limeazimia kuwa Salum Sadala ambaye ni Afisa Mtendaji aendelee na majukumu yake baada ya kupatikana na upotevu Wa shilingi milioni 4 Fedha za serikali na hii imetokana na halmashauri kuwa na upungufu Wa watendaji ila ametakiwa kulipa Fedha alizochukua.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa