• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

KATIBU TAWALA MOROGORO AIPONGEZA KILOMBERO KWA KUFANYA VIZURI MATOKEO YA DARASA LA SABA 2017

Posted on: November 10th, 2017


Katibu tawala mkoa wa Morogoro Mh. Clifford Tandari ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Kilombero baada ya kufanya vizuri kwenye matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi 2017.


Mh. Tandari ameyasema hayo katika kikao cha pamoja na wakuu wa idara na vitengo wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa bonde la umwagiliaji mjini Ifakara tarehe 10.11.2017.


Katibu tawala huyo amewataka viongozi wa elimu, wadau wa elimu ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Kilombero kuendelea kuongeza juhudi walizozifanya kufikia hatua hiyo ya mafanikio ili kuendeleza ushindi huo kwa siku zijazo ikiwa ni pamoja na kufanya vizuri Zaidi ya hapo.


Halmashauri ya wilaya ya Kilombero katika matokeo ya Kumaliza elimu ya msingi 2017 yaliyotolewa na baraza la mtihani la taifa imeshika nafasi ya nne kimkoa kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Morogoro ambapo ufaulu huo ni sawa na aslimia 78.9 ikilinganishwa na mwaka jana ambapo ufaulu ulikuwa ni aslimia 47 na halmashauri ilishika nafasi ya nane kimkoa.


Matokeo haya yamevunja rekodi ya miaka mitano mfululizo ambapo tokea mwaka 2012 rekodi hiyo haijawahi kufikiwa. Hata hivyo ufaulu huo umefikia malengo ya matarajio ya ufaulu halmashauri ya wilaya ya Kilombero iliyojiwekea.


Naye mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero Mh. Dennis Londo alitumia nafasi hiyo kumweleza katibu tawala wa mkoa wa Morogoro mikakati  ambayo halmashuri yake imejiwekea katika kukabiliana na upungufu wa vyumba 41 vya madarasa kwa shule za sekondari ambapo kwa sasa kila Kijiji kinaandaa benki ya matofali ikiwa ni matayarisho ya kuinua maboma ambayo mara yatakapokamilika halmashauri itayamalizia ili kupunguza uhaba wa vyumba vya madarasa vilivyopo sasa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA MWAKA 2025 November 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MAANDISHI WA MAAFISA UGANI KWA AJILI YA MRADI WA MIFUMO YA CHAKULA, MARUMIZI YA ARDHI NA UREJESHAJI WA MAZINGIRA (FOLUR) KATIKA HALMASHAURI YA MLIMBA December 06, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA YAPOKEA WAAJIRIWA 118

    January 20, 2026
  • HALMASHAURI YA MLIMBA YAKEMEA UCHIMBAJI HOLELA WA VIFUSI NA UHARIBIFU WA MTO MNGETA, YAAHIDI KUDHIBITI NYANI WAHARIBIFU KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA KIBURUBUTU

    January 19, 2026
  • MRADI WA FOLUR KUANZA KUTEKELEZWA KWA VITENDO

    January 18, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA IMEFANYA MKUTANO WA ROBO YA PILI, WA BARAZA LA MADIWANI

    January 18, 2026
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa