• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero watembelea Arusha.

Posted on: June 18th, 2018

Pichani juu Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero, wabunge wa wilaya hiyo pamoja na wafanyakazi wa manispaa ya jiji la Arusha wakiwa katika picha ya pamoja kwenye jengo la manispaa ya jiji la Arusha.

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya kilombero mwishoni mwa wiki hii walipata ziara ya kimafunzo kutembelea katika jiji la Arusha kwaajili ya mafunzo ya namna bora ya kuendesha mabaraza na kujifunza mambo mbalimbali ya maendeleo.

Madiwani hao wakiongozwa na mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mhe. Daudi Ligazio walionekana ni watu waliojifunza mambo mengi na waliofurahishwa sana na safari hiyo, kwani kila walipoelekea kwenye vituo mbalimbali vya mafunzo walikuwa ni wenye kuuliza maswali mengi na kuchangia hoja nyingi ili kuweza kuambukiza maendeleo yaliyopatikana katika jiji hilo la Arusha katika halmashauri ya wilaya ya kilombero.

Aidha vituo ambavyo walipangiwa kutembelea madiwani hao ambavyo pia walivitembelea ni ukumbi wa baraza la madiwani, machinjio ya kisasa kabisa ya Arusha, sehemu ya kufugia nyoka ijulikanayo kama (Snake Park) na soko la kilombero linalopatikana katikati ya jiji hilo la Arusha ambavyo vivutio hivyo huchangia kwa kiasi kikubwa sana mapato ya jiji hilo ambayo hufikia wastani wa shilingi bilioni 13.

Akizungumza kwa niaba ya madiwani na wabunge waliotembelea eneo hilo, mwenyekiti Ligazio alisema kuwa wanashukuru sana kwa halmashauri kuwezesha safari hiyo ambayo pamoja na yote itasaidia kwa kiwango kikubwa suala la kuongeza mapato kwani kulikuwa na mianya mbalimbali ya upotevu wa pesa za serikali ambazo kwa namna moja ama nyingine wamepata njia za kuiziba na hivyo kuweza kuongeza mapato ya serikali.

Nae Afisa utumishi wa halmashauri hiyo Bwana Abdul Mbimbi, alisisitiza kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuisababishia halmashauri hasara kwa makusudi, kwani hakika hao watakuwa ni maadui wakubwa wa maendeleo ya halmashauri ya wilaya ya kilombero.

‘’Kwa sasa tunahitaji kuwa na halmashauri ya wilaya ya kilombero mpya kabisa kwani kwa kuangalia tu ni kwamba tunaweza na kutokana na mafunzo ambayo tumeyapata kwa wenzetu wa Arusha, tutahakikisha kuwa tunaboresha hali ya uchumi kwa kilombero na kuhakikisha kuwa uchumi unapanda kwa kubunivitega uchumi mbalimbali vikiwemo vile ambavyo manispaa ya jiji la Arusha wameshauri tuvifanye.’’ Alimaliza Ndg Mbimbi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa