• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mafunzo ya mabaraza ya Ardi ya kata kwa Kilombero yafungwa rasmi.

Posted on: April 23rd, 2018

Pichani kutoka kushoto ni Afisa utumishi ndg Abdul Mbimbi, mgeni rasmi Mhe. Ndangalasi na Diwani wa kata ya Ziginali Ndg Shema Ndama,  siku ya kufunga mafunzo hayo katika shule ya msingi ya Kiberege.

Mafunzo ya mabaraza ya kata yaliyokuwa yakiendelea kwa kata zote za halmashauri ya wilaya ya kilombero hatimae yamefungwa rasmi mwishoni mwa wiki hii katika kata ya ziginali.

Akifunga mafunzo hayo mwenyekiti msaidizi wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero Ndugu Ndangalasi alisema kuwa katika utekelezaji wa suala hili anahitaji kuona mabadiliko ya kiutendaji katika Ardhi na kama itatokea mabadiliko yoyote basi hakutakuwa na maana ya kuwepo kwa mafunzo hayo, aidha aliwasihi kuwa uwepo wao hapo ni katika kuzijua sheria za masuala ya ardhi na kwenda kuzitafsiri ili kuweza kuhakikisha wanapunguza baadhi ya migogoro ya ardhi kama sio kuimaliza kabisa.

Awali afisa utumishi wa wilaya ya kilombero bwana Abdul Mbimbi alisema kuwa mabaraza ya kata ni chombo muhimu sana katika kumaliza migogoro ya ardhi, awali kulikuwa na kesi nyingi sana zilizokuwa zinapelekwa Halmashauri, kabla ya mabaraza haya kujengewa uwezo, lakini kwa sasa anaamini kuwa, kuwepo kwa wajumbe hao ambao walijengewa uwezo kwa siku tatu kwa kila kata, kutasaidia sana kupunguza mzigo mkubwa wa kesi zinazohusiana na ardhi katika ofisi za Halmashauri.

Aidha diwani wa kata ya Ziginali ndugu Shema Ndama, aliwashukuru sana wawezeshaji ambao walitoka kwenye ofisi ya wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mgeni rasmi, ujumbe kutoka kwa mkurugenzi mkuu pamoja na wajumbe wote kutoka katika kata zote zilizokuwa za mwisho kwenye mafunzo hayo na kumuhakikishia mgeni rasmi kuwa, kwakuwa wajumbe hawa ni watumishi kama walivyo watumishi wengine, basi watafanya kazi na kuhakikisha kuwa kila jambo linakwenda kama lilivyopangwa na mwisho wa siku kesi zinazohusiana na masuala ya Ardhi zinapungua kama sio kuisha kabisa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 24, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • FEDHA ZA OC KWA MWEZI FEBRUARI 2023 TSH. 35,294,000

    March 16, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA OC KWA MWEZI JANUARY TSH. 189,174.000/=

    February 07, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa