• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Makusanyo ya Bilioni 1.66 kuvuka makadirio kwa mwaka wa fedha 2018/2019

Posted on: January 31st, 2019

Halmashauri ya wilaya ya  Kilombero  imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Bilioni 1.66 kutoka katika  vyanzo mbalimbali ya mapato na kuifanya Halmashauri kuvuka lengo la makadirio  katika bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 kwa miezi sita kuanzia June mpaka Desemba ambapo imepanda kwa asilimia 9 nakufikia asilimia 59 toka 50 ya awali.

Aidha katika matumizi ya pato hilo Halmashauri imeanza kuwekeza na kutekeleza miradi mbalimbali wilayani humo ambapo katika ufafanuzi wa mikakati ya kimaendeleo kupitia kamati ya fedha tayari imetumia  shilingi milioni 179 kwa kukopesha vikundi mbalimbali vya  vijana na akina mama katika maeneo tofauti wilayani humo.

Hata hivyo mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero Chief James Ihunyo amesema vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo kwa awamu ya pili vimetoka na kuwataka madiwani na watendaji kata kutoa elimu ya kutosha kwa wafanyabiashara juu ya umuhimu wa vitambulisho hivyo.

“Vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo kwa awamu ya pili vimetoka viko ofisi ya mkuu wa mkoa  tunakabidhiwa hivi karibuni ili kuwasaidia hawa wafanya biashara,naomba watendaji na madiwani tutoe elimu ya kutosha ili kila mfanyabiashara ajue umuhimu wa kuwa na kitambulisho kwa maana itafika wakati hataruhusiwa mfanyabiashara yeyote kuwa na biashara ndani ya halmashauri  kama hana kitambulisho naomba fikisheni ujumbe huu”amesema Ihunyo

Ameyazungumza hayo katika kikao cha baraza la madiwani ambacho kimeongozwa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Ndugu Daud Ligazio,kimehudhuliwa na Mkurugunzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero Eng.Stephano Kaliwa, maofisa utumishi kutoka idara mbalimbali, watendaji na wananchi wote  wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero kwenye ukumbi wa mikutano tarehe 30/1/2019 ikiwa ni sehemu ya maboresho ya bajeti ya kwa mwaka wa fedha 2019/2020



Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa