• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mfumo wa OPRAS kuboresha ufanisi kazini

Posted on: January 24th, 2019

Katibu tawala wa Halmashauri ya  wilaya  ya Kilombero Bw.Selasela amefungua mafunzo  maaluma  ya uimalishaji wa  mfumo wa OPRAS(Open  Perfomance Result  Apraisal System) kwa wakuu wa shule za misingi na Sekondari wilayani wenye lengo la kuboresha ufanisi kazini

Mfumo huo wa OPRAS umejikita haswa katika kuwawezesha walimu kuweka  malengo ya kiutendaji kwa kada ya ualimu  unaotokana na maelekezo ya kazi ya mwalimu kama ilivyo ainishwa katika walaka  kwa maendeleo ya  utumishi  Na.1 ya  mwaka 2014 kuhusu miundo ya kiutumishi ya kada za walimu chini ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi sayansi na teknolojia

Akizungumzia katika  katika uzinduzi huo  leo tarehe 18/1/2019 katika ukumbi wa mikutano wa shule ya sekondari ya wasichana Ifakara,Selasela  amewataka walimu wajifunze kwa umakini maarifa hayo  kwa manufaa ya  walengwa ambao ni walimu na baada ya mafunzo hayo, utekelezwaji uanze kwa kuwashirikisha walimu juu ya mfumo huu kuepesha malumbano ya majukumu ili kupata ufanisi wa kazi huku akiwaka wazi kusudi la serikali katika mfumo huo wa  OPRAS  kuwa ni muhususi kwa  kuboresha taaluma nchini.

Aidha amewataka viongozi hao kuwa na nidhamu katika kutekereza majukumu yao na kuwahimuza  watumishi walio chini yao ili kuleta maendeleo ya kielimu katika halmashauri “serikali haitasita kuwachukulia hatua walimu na viongozi wazembe ,niwaombe muwe na nidhamu katika uwajibikaji ili tulete maendeleo kwenye halmashauri  yetu”amesema Bw.Selasela

Mafunzo hayo yameongozwa na afisa elimu msingi wilaya ya Kilombero Bi.Witness Kimoleta na maafisa wengine wa elimu ngazi ya wilaya,wathibiti ubora wa shule,ofisi ya tume ya utumishi wa walimu TSC na vingozi wa chama cha walimu  Tanzania  CWT wilaya.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Hamlashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano B. Kaliwa akiongoza kikao cha Manejimenti.

    August 13, 2022
  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa