• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Miradi ya maji Kilombero yapamba moto, mwaya, mgudeni na kiswanya wanufaika

Posted on: February 11th, 2019

Pichani juu: Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero Injinia Stephano Kaliwa akimkabidhi mkuu wa wilaya ya Kilombero, Ndg James Ihunyo, ramani ya miradi wa maji ya vijiji vya mwaya, Mgudeni na Kiswanya baada uzinduzi wa mradi huo mwishoni mwa wiki iliyopita

ZAIDI ya kaya 5,000 zimeanza kunufaika na huduma ya Maji safi na salama katika vijiji vitatu vya Mwaya,Mgudeni Kiswanya vilivyopo kata ya Mwaya wilayani Kilombero.

Hiyo imetokana baada ya kukamikika kwa mradi Mkubwa Wa Maji ya mserereko Wa vijiji hivyo vitatu ambao umegharimu kiasi cha shilingi milioni 346,020,449 chini ya ufadhili Wa shirika lisilo la kiserikali la WARIDI.

Mhandisi Wa Maji kutoka WARIDI Antony Derefa alisema mradi huo ulianza Disemba 2017 katika vijiji husika na wao walichangia shilingi milioni 302,071,449 ikiwemo gharama za ununuzi Wa mabomba na viungio vyake na gharama za vifaa vya ujenzi ikiwemo saruji na nondo.

Derefa amesema mchango Wa wananchi Wa vijiji husika ilikuwa no shilingi milioni 43.9 ikiwemo Fedha taslimu shilingi milioni 9.5 na nguvu kazi ikiwemo uchimbaji mitaro,kukaza mabomba,ulinzi Wa vifaa vya mradi na halmashauri ya Wilaya walitoa wataalamu kuwezesha utekelezaji Wa mradi.

Alisema kwa sasa baada ya mradi kukamikika Chombo huru cha watumiaji Maji katika vijiji hivyo vitatu ndio kitakuwa wasimamizi na waendeshaji Wa mradi.

Katika risala ya watumiaji Maji katika vijiji hivyo vitatu walisema kuwa mradi huo kwa sasa umekuwa ni Wa maboresho kwani wao walishaanzisha toka mwaka 2000 kwa gharama ya shilingi milioni 105 ila ulisuasua tokana na mahitaji kuongezeka.

Taarifa ilisema mwaka 2017 waliandika barua halmashauri kuomba kusaidiwa kuboresha mradi na ndipo walipiletewa WARIDI kwa ajili ya kuboresha mradi na wamepanga gharama za ulipiaji Ankara ambapo kila Kituo kaya italipia shilingi 500 huku taasisi na majumbani wakilipia shilingi 2000 na kuunganisha ni shilingi 50,000.

Kwa upande wake mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mhandisi Stephano Kaliwa alisema vituo 58 vitatoa huduma kwa wananchi huku akiishauri Chombo cha watumiaji Maji kuweka mita katika vituo tofauti na kuchangisha shilingi 500 kwa kaya kwani wakufanya hivyo hakutakuwa na matumizi ya Maji hayo.

Naye mgeni rasmi katika uzinduzi Wa mradi huo,Mkuu Wa Wilaya ya Kilombero James Ihunyo alilipongeza shirika la WARIDI kwa kusaidia huduma ya Maji katika Wilaya ya Kilombero kwani hadi sasa jumla ya shilingi bilioni 1.5 zimetumika katika miradi mitatu ya Kiberege,Mwaya na Kidatu ambapo yote imefadhiliwa na WARIDI.

Ihunyo alisema upatikanaji Wa Maji kwa sasa katika Wilaya ni asilimia 61 hivyo kuwaomba WARIDI kuangalia na kuweza kusaidia tatizo la Maji katika Kata ya Mlimba kabla ya kumaliza mradi wao  hapo mwakani.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa