• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mkurugenzi Kilombero azindua chanjo ya homa ya mapafu kwa wanyama

Posted on: August 20th, 2019

Pichani juu: Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero (mwenye koti la kijivu) akiangalia kwa makini namna ng'ombe wanavyopewa chanjo ikiwa kama ishara ya uzinduzi wa zoezi hilo katika Halmashauri hiyo.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero Injinia Stephano Kaliwa,amezindua rasmi utoaji wa chanjo kwa mifugo, ili kuweza kuepukana na ugonjwa wah homa ya mapafu na hasa kwa upande wa mofugo aina ya Ng’ombe.

 Uzinduzi huo uliofanyika jana katika kata ya Signal, ulijumuisha watu wengiwakiwemo wafugaji,viongozi kutoka katika ngai ya Kijiji, kata na ngazi ya Halmashauri,ambapo walijitokeza kwa wingi katika kushirikiana, ili kuweza kukamilisha zoezi hilo lka uzinduzi wa utoaji chanjo kwa mifugo.

Akizungumza kaitika uzinduzi huo Injina Kaliwa amesemam kuwa, amefurahishwa sana na muitikio wa wafugaji juu ya suala hilo la utoaji chanjo kwa mifugo yao, kwani wamejitokeza kwa wingi pamoja na mifugo yao,ili iweze kmupatiwa chanjo dhidi ya ugonjwa hatari wa homa ya mapafu, na kuwataka wafugaji hao wafuge mifugo yao kwa tija, ili waweze kujiletea maendeleo yao binafsi.

Aidha kwa upande wake Afisa mifugo na uvuvi wa Halmashauri ya wilwya ya Kilombero dokta Aneth Kitambi, amesema kuwa zoezi la utoaji chanjo kwa mifugo dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu limeanza rasmi jana, hivyo wataendelea kwa kila kata zilizopo ndani ya Halmashauri hiyo ambazo zinajihusisha na sgughuli za ufugaji ilikuweza kutoa chanjo hiyo.

Lakini pia dokta Kitambi ameongeza kuwa, licha ya kuwa zoezi hilo la uzinduzi limeenda vizuri, lakini pia ziliibuka changamoto nyingi, ikiwemo ya wafugaji kutoruhusu mifugo yao ipatiwe chanjo, kwa madai ya kwamba, kipindi cha nyuma mifugo yao ilikuwa ikipata matatizo mara baada ya kupatiwa chanjo hizo.

Hata hivyo dokta Kitambi amewatoa hofu wafugaji hao, kwa kuwaambia kuwa chanjo hiyo haina madhara ya aina yoyote kwa mifugo, na badala yake itasaidia kudhibiti ugonjwa wa homa ya mapafu ambao ni hatari kwa mifugo.

Kwa upande wake mwenyekiti wa wafugaji katika kata ya Signal Bw. Lenga Makanya Ngoloma, amesema kuwa amnawashukuru wataalam wa mifugo, kwa kuwapa elimu ya kutosha juu ya utoaji chanjo kwa mifugo, kwani hapo awali wafugaji walileta utata juu ya kukubali chanjo hiyo, hiyo ni kutokana na mifugo yao kukumbwa na matatizo katka miaka bya nyuma iliyopita, lakini baada ya elimu waliyopewa wamekuwa waelewa na wanaamini hakuna kitakachotokea kuwaathiri mifugo yao.

Naye Mkurugenzi wa kampuni binafsi ya Twasco, ambayo imeteuliwa na serikali kushirikiana na Halmashauri, katika utoaji wa chanjo kwa mifugo Bw. Jonas Godfrey, amesema kuwa chanjo hiyo wanayoitoa iko salama kwa mifugo na haiwezi kuleta madhara yoyote kwani hadi kufikia hapo, tayari wamesha pita katika baadhi ya maeneo kutoa chanjo hiyo, lakini hawajasikia malamiko yoyote juu ya mifugo kupatwa na matatizo yanayotokana na chanjo hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa