• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Msiba Mkubwa Waikumba Kilombero

Posted on: February 24th, 2019

msiba mkubwa sana umeikumba Halmashauri ya wilaya ya Kilombero ambapo waatumishi wa Ardhi katika mradi wa LTSP wamefariki kwa ajali ya gari walipokuwa wakitoka katika eneo la kazi kwa muda huo (Site).

Hayo yameelezwa na mkuu wa wilaya hiyo ndugu James Ihunyo alipokuwa akitolea ufafanuzi juu ya ajali hiyo mapema leo, alipowatembelea majeruhi waliobaki wa ajali hiyo.

Pichani juu baadhi ya wananchi wakisaidia kuokoa baadhi ya wahanga wa ajali hiyo

akizungumza kwa masikitiko makubwa Mheshimiwa Ihunyo amesema kuwa, vijana hao walikuwa wakitoka site kutekeleza majukumu yao ya kila siku walikuwa kumi na tatu, na wlipofika kwenye eneo la kikwawira kwenye mto maarufu kwa jina la mto Kikwawira, Dereva alizidiwa na gari na ndipo ilipotumbukia katika mto huo.

akithibitish kutokea kwa ajalai hiyo RPC wa Morogoro ndugu Mutafungwa amesema kuwa saa kumi na moja ya jana jioni, katika wilaya ya Kilombero gari aina ya Landcruiser mali ya TAWA, imepata ajali, na tayari dereva wa gari hilo ambae ni mzima amekwishakamatwa anahojiwa ambapo alisema kuwa chanzo cha ajali ni mwendo kasi na uzembe wa dereva kushindwa kutawala gari akiwa katika mwendo na kuweza kutumbukia darajani.

Nae naibu waziri wa Ardhi ndg Angeline Sylvester Mabula amewataja watumishi waliokuwamo kwenye ajali hiyo kuwa walikuwa ni kumi na tatu na waliofariki na tisa huku wengine wanne wakiwa ni majeruhi ambapo mpaka sasa wapo katika hospitali ya St. Francis, Ifakara, aliwataja waliofariki kuwa ni Maria Kinyonja, Sheila Stambuli, Glory Mziray, Shabani Yusuph, Rudaya Mwakalebela, Sylvester Mwakalebela, Salome Lukosi, Hassan Kayuga, Pamoja na msafirir Kisumo kutoka plan International.

Aidha waziri Mabula amesisitiza kuwa vijana hao wengi ni wa umri chini ya miaka thelathini hivyo taifa limepoteza nguvukazi kubwa iliyokuwa ikiitegemea kwa siku za usoni.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa