• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Msimamizi wa uchaguzi Mlimba azindua mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi kata

Posted on: August 7th, 2020

Pichani juu: msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Mlimba akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata (hawapo pichani)

Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la mlimba, Mhandisi stephano Kaliwa mapema leo amezindua mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata ambao watasimamia uchaguzi wa Rais, Wabung na madiwani katika maeneo yao.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Mhandisi kaliwa amesema kuwa katika wakati ambao wasimamizi wanatakiwa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote ni kipindi hiki kwani ndio kipindi ambacho kitatoa Taswira ya uongozi bora katika nchi yetu, hivyo wasimamizi hawatakiwi kuzembea kwenye umakini wa kufanya shughuli hii na kwa yeyote atakayeharibu utaratibu, basi serikali itamchukulia hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kumfungulia mashitaka kwa mujibu wa sheria.

Akiwakumbusha washiriki mhandisi kaliwa amesema ni marufukuku kwa msimamizi yeyote yule kujihusisha na masuala ya siasa za vyama na ndio maana kwenye kipengele cha kuapa kuna eneo la kujitoa kwenye chama chochote kile unachoshabikia na ikitokea mtu akajihusisha kabla ya kesi hiyo kufika tume, ataanza kumshughulikia yeye kama msimamizi mkuu wa jimbo ili kuweza kulinda nidhamu za usimamizi katika jimbo la Mlimba.

Nae afisa uchaguzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Bi Zaituni kisusi, amesema kuwa wameandaa semina hii kwa kufuata ratiba ya Tume ya uchaguzi, ili kuweka uelewa wa pamojakwa wasimamizi na wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata.

Aidha bi Kisusi amesisitiza kuwa tume imewaamini  sana wasimamizi hao ndio maana imewateua, hivyo wahakikishe wahakikishe wanasikiliza kwa makini masomo hayo kwa siku zote tatu, kisha wasome na kuelewa nyaraka  zote walizopewa kwaajili ya utekelezaji sahihi na kuwa makini na muda katika kufanya shughuli zote zinazojumuisha mambo ya uchaguzi.

Akijibu swali la washiriki wa warsha hiyo kuhusu mpangilio kwa maeneo ya wazi, msimamizi msaidizi wa jimbo la Mlimba Ndg Edwin Lupili amesema kuwa uchaguzi huu ni tofauti na chaguzi nyingine zote, kwani tume imejipanga kuhakikisha kuwa inaweka mazingira mazuri ya uchaguzi ili uwe huru na wa haki ikiwemo kuwajengea vibanda vya muda wasimamizi wote kwenye maeneo ambayo yanaonekana ni ya wazi.

c

Chini ni habari picha

Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata wakiapa


Afisa Uchaguzi wa wilaya ya Mlimba Bi Zaituni kisusi akitoa mada.


Msimamizi msaidizi wa Jimbo Wakili Faraja Nakua akitoa mada

Msimamizi msaidizi wa Jimbo Ndg Edwin Lupili akitoa mada.



Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Hamlashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano B. Kaliwa akiongoza kikao cha Manejimenti.

    August 13, 2022
  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa