• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mwenge wa Uhuru waacha kishindo kilombero

Posted on: August 6th, 2019

Pichani juuMkuu wa wilaya Chifu Jmes Ihunyo (mwenye kipaza sauti) akiongea na wananchi waliofika kwenye uzinduzi wa mradi huo huku pembeni ni mkimbiza mwenge wa kitaifa (aliyeshika mafaili ya mradi huo) mara baada ya kujiridhisha na kisha kuweka jiwe la msingi

Mwenge wa uhuru umeendelea kuacha vishindo kila unapotoka katika Halmashauri ya wilaya ya kilombero ambapo mwaka huu tarehe 05/08/2019, umetembelea miradi minne ya Halmashauri hiyo huku ikikubali miradi yote iliyoipitia.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mkuu wa wilaya ya Kilombero Chifu James Ihunyo, amesema kuwa wanashukuru sana kutokana na kupita kwa mwenge huo bila kuacha doa lolote na hii ni kutokana na ukweli kuwa, Halmashauri hii imejiandaa vya kutosha kama ilivyokuwa miaka mingine, ambapo kwa mwaka huu imezidi kutia fora kwa kupatikana watu wengi mno, kuanzia eneo la mapokezi mpaka kwenye eneo la mkesha.

Aidha Chifu Ihunyo ameiagiza Halmashauri hiyo kuendelea kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi ambayo ndiyo ilani inayotekelezwa , kwa kufanya shughuli zote za kimaendeleo kwa ufanisi mkubwa katika kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya muungano kivitendo.

Nae mkimbiza mwenge wa Kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Ally, akitoa salamu za mwenge katika mahakama ya Kiberege, alimshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kwa kuweza kuichangia Mahakama hiyo ambayo pia imezinduliwa kwa kuwekewa jiwe la msingi, kiasi cha shilingi milioni tano, ambapo kukubali kuweka jiwe hilo la msingi kunadhihirisha ukweli kwamba pesa hizo zimetumika kwa usahihi bila shida yoyote.

Pamoja na hayo aliwaasa wananchi wote kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na kuhakikisha kuwa wanawachagua viongozi kulingana na uwezo wao na si kutokana na pesa zao kwani ikiwa wananchi watakubali kupokea zawadi ndogo za kanga na vitenge na pesa kidogo, basi watakapoingia madarakani kwanza watahakikisha wanarudisha pesa zao, kitendo kitakachochelewesha maendeleo yao huko mbeleni.

''Aidha ninawaasa kuwa mwaka huu ni mwaka wa serikali za mitaa, hivyo wananchi wote mshiriki kwenye uchaguzi huu kikamilifu, msikubali kurubuniwa na pesa na na kanga ama vitenge, kwani kwa kufanya hivyo mnaweza kuchelewesha maendeleo yenu na kunufaisha hao mtakaowachagua, kwani hao mtakaowachagua wakiingia madarakani watahakikisha kwanza wanarudisha kiasi cha pesa walichopoteza kwa kuwapa ninyi na kujinufaisha zaidi''. Alisema ndugu Mkongea.

Chini ni Habari picha














Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa