• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

RC morogoro aahidi neema Chita-merela.

Posted on: September 6th, 2018

Pichani juu: baadhi ya wananchi na wakazi wa Chita - Merela, wakipita kwenye daraja hilo la miti ambalo ni hatari kwa maisha yao

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe. Kebwe Steven Kebwe, jana amekutana na wakaazi wa Chita-Merela na kuwatoa hofu juu ya ujenzi wa adaraja korofi linalounganisha wakaazi wa eneo hilo na mahali pengine.

Akizungumza na wakaazi hao alipofanya ziara kulitembelea daraja hilo, mheshimiwa Kebwe alisema kuwa daraja hilo ni muhimu sana na ni kiungo ambacho kinaunganisha wafanyabiashara wakubwa sana, kutoka maeneo mbalimbali ya nchi yetu, hivyo kuwa katika hali kama hiyo iliyopo haitaleta maana kabisa katika kukuza uchumi wa kilombero na nchi ya Tanzania kwa ujumla.

Aidha mheshimiwa kebwe amesema kuwa, kwa asilimia kubwa  ya uzalishaji wa mazao ya mpunga hutokea maeneo ya huko, hivyo ni vyema, eneo hilo likashughulikiwa haraka iwezekanavyo ili kurudisha nguvu ya uzalishaji mali kwa wananchi wa eneo hilo.

Akitoa agizo kwa wakandarasi waliopewa shughuli ya kuhakikisha kuwa eneo hilo pamoja na barabara zote zinazounganisha viunga hivyo zinashughulikiwa mapema, mheshimiwa Kebwe amesema kuwa, mkandarasi wa wilaya, mkandarasi mshauri na yule wa TANROAD washirikiane kwenye masuala ya uchanganyaji wa udongo ili kuweza kupata udongo wenye tija utakaowezesha barabara kuwa imara, aidha aliwataka, wafanye kazi usiku na mchana kuhakikisha kuwa daraja hilo linakwisha mapema iwezekanavyo, huku akitoa maagizo kwa mkurugenzi na mkuu wa wilaya ya kilombero kusimamia kazi hiyo na kuwaahidi wananchi kuwa daraja hilo litakwisha mapema kabisa.

Nae mkuu wa wilaya wilaya ya Kilombero ndugu James Ihunyo alisema kuwa, amepokea maagizo ya kusimamia kazi hiyo, huku akiwaomba wananchi kuhakikisha wanaitunza barabara hiyo pamoja n adaraja hilo kwa kutopitisha Ng’ombe mara kwa mara, kwani wanyama hao huharibu sana miundo mbinu ya barabara.

Katika kuhakikisha masuala ya kimaendeleo yanakwenda sawasawa, iliitishwa harambee ya ujenzi wa majengo kadha katika kuleta maendeleo katika eneo hilo, ambapo zaidi ya shilingi milioni 6.7 zilipatikana kutoka kwa wananchi mbalimbali na mifuko ya simenti ipatayo 55 ilipatikana.

Katika kuonyesha kuwa wanajali maendeleo ya eneo lao, wananchi hao walimshukuru sana mkuu wa mkoa, kwa kuwatembelea na kujali matatizo yao, na kuahidi kuwa watatunza miundo mbinu yote itakayojengwa na serikali, na ikiwa mmoja wao atakwenda kinyume na makubaliano hayo, basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC KYOBYA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WA KATA, VIJIJI NA WAKUSANYA MAPATO WA MLIMBA DC

    July 15, 2025
  • BILIONI 1.25 YAPOKELEWA MLIMBA DC KUJENGA MIUNDOMBINU SHULE ZA MSINGI

    July 15, 2025
  • MLIMBA YAPOKEA CHANJO NA HERENI KWA AJILI YA MIFUGO

    July 10, 2025
  • MLIMBA YAPANGIWA WAAJIRIWA WAPYA 73

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa