• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

UANDIKISHAJI KIDATO CHA KWANZA 2018 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOMBERO

Posted on: March 1st, 2018

HALMASHAURI ya wilaya ya Kilombero imeendelea na uandikishaji wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2018 kwa shule zote za sekondari za serikali.

Kaimu afisa elimu sekondari katika halmashauri hii Bi Neema Mwambungu amesema kutokana na matokeo ya mwaka 2017 ya mtihani wa darasa la saba waliochaguliwa ni wanafunzi 5,545 na hadi kufikia Februari 23 mwaka huu wanafunzi walioripoti na kuandikishwa ni 4,852 sawa na asilimia 88 ya wanafunzi wanaendelea kuandikishwa kulingana na utaratibu uliopo.

Bi Neema amesema katika zoezi zima la uandikishaji wa wanafunzi hao,halmashauri imeendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali zikiwemo uwepo wa idadi ndogo ya walimu wa masomo ya sayansi na hesabu mashuleni baada ya kuongezeka kwa wanafunzi kutoka 9,179 mwaka 2017 hadi 13,164 mwaka 2018.

Kaimu afisa elimu huyo ametaja changamoto nyingine kuwa ni jamii kutotoa ushirikiano wa kutosha kwa walimu hasa kuhimiza wanafunzi kuwahi kuripoti shuleni kwani hadi sasa asilimia 12 ya waliochaguliwa bado hawajaripoti.

Pia uandikishaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza umesababisha upungufu wa vyumba 41 vya madarasa ingawa hadi sasa halmashauri imeshapeleka fedha kiasi cha shilingi milioni 54 kwa ajili ya ukarabati na kumalizia maboma yaliyopo na uandikishaji wa kidato cha kwanza umeendelea kukabiliwa na upungufu wa madawati 4,152 hali inayopelekea wanafunzi katika baadhi ya shule kukaa chini au kusimama.

Hata hivyo katika kukabiliana na changamoto hizo,halmashauri imeendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ikiwemo wanafunzi wasioripoti wazazi ama walezi watachukuliwa hatua za kisheria ili uandikishaji ufikie asilimia 100 na halmashauri inaendelea kusimamia kwa kasi kubwa zoezi la utengenezaji wa madawati ili kunusuru wanafunzi wanaokaa chini na kusimama ambapo kiasi cha madawati 191 yakipelekwa katika baadhi ya shule.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA MWAKA 2025 November 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MAANDISHI WA MAAFISA UGANI KWA AJILI YA MRADI WA MIFUMO YA CHAKULA, MARUMIZI YA ARDHI NA UREJESHAJI WA MAZINGIRA (FOLUR) KATIKA HALMASHAURI YA MLIMBA December 06, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA YAPOKEA WAAJIRIWA 118

    January 20, 2026
  • HALMASHAURI YA MLIMBA YAKEMEA UCHIMBAJI HOLELA WA VIFUSI NA UHARIBIFU WA MTO MNGETA, YAAHIDI KUDHIBITI NYANI WAHARIBIFU KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA KIBURUBUTU

    January 19, 2026
  • MRADI WA FOLUR KUANZA KUTEKELEZWA KWA VITENDO

    January 18, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA IMEFANYA MKUTANO WA ROBO YA PILI, WA BARAZA LA MADIWANI

    January 18, 2026
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto
  • situs toto