• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Ufungaji Vituturi wawa gumzo mafunzo ya usimamizi uchaguzi.

Posted on: August 8th, 2020

pichani juu: wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi jimbo la mlimba ambao ndio wakufunzi wa mada za uchaguzi, wakionesha namna ya kufunga kituturi kwa wasimamizi ngazi ya kata

Katika hali kufurahisha ufungaji wa vituturi (sehemu ya kuandikia kura) imekuwa gumzo kubwa kwa baadhi ya washiriki wa mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata.

Wakizungumza katika mafunzo hayo ya siku tatu wasimamizi hao wa uchaguzi wamesema kuwa ufungaji huo wa vituturi kwa kiasi Fulani umewazindua Vichwa vyao kutokana na ukweli kuwa, miaka yote walifikiri kuwa ni jambo rahisi sana kila wanapokwenda kupiga kura na kukuta tayari vituturi hivyo vimekwishafungwa katika vyumba vya kupigia kura.

Kwa upande wake ndugu Nicolaus Makata amesema mwanzo alifikiri kuwa vituturi hivyo vina urahisi katika ufungaji wake, kumbe vina changamoto zake na kuwa ukikosea kidogo tu unaweza kuliharibu box zima hivyo, amewasihi washiriki wenzake kufuata maelekezo waliyopewa ili kuweza kurahisisha zoezi hilo la usimamizi na uandikishaji ngazi ya kata.

Nae msimamizi mkuu wa moja ya kata za jimbo la Mlimba Bi Neema Lyungu amesema kuwa, msimamizi mkuu wa jimbo la Mlimba asiwe na wasiwasi kwani wamejipanga kuhakikisha kuwa wanamsaidia kuifanya kazi hii kwa ufanisi na ushirikiano kwa mujibu wa taratibu za Tume ya Taifa ya uchaguzi, hivyo jimbo hilo litakuwa ni la mfano katika majimbo yote nchini Tanzania.

Ikumbukwe kuwa leo ni siku ya pili katika mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata, katika jimbo la Mlimba, ambapo washiriki kwa Pamoja wamejifunza namna ya kufunga kituturi na mabox ya kuhifadhia kura, ili kurahisisha shughuli za usimamizi wa uchaguzi kwa kuufanya kuwa wa wazi, kuaminiwa, huru na haki katika maeneo ya kata zote za jimbo la Mlimba ambapo Halmashauri ya wilaya ya Mlimba itakuwa na jukumu la kusimamia chaguzi katika kata zake.

Habari picha.

Baadhi ya washiriki wakifanya mazoezi ya kufunga vituturi walivyoelekezwa.






pichani juu baadhi ya washiriki na wakufunzi wakifunga masanduku ya kupigia kura kwa majaribio

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Hamlashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano B. Kaliwa akiongoza kikao cha Manejimenti.

    August 13, 2022
  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa