• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Vijiji viwili Tarafa ya Mlimba hatarini kukosa fursa ya kupatiwa hati za kimila bure.

Posted on: January 9th, 2019

WAKATI zoezi la kuwapimia na kuwapatia hati za kimila bure wakazi wa Wilayatatu mkoani Morogoro likikaribia kumalizika wananchi Wa vijiji viwili katikatarafa ya Mlimba wilayani Kilombero wapo hatarini kukosa fursa hiyo kutokana nakugombea mpaka baina ya vijiji hivyo.

Hayo yamebainika mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Mkuu wa Wilaya hiyoJames Ihunyo akiambatana na wataalamu Wa idara ya ardhi kufika katika vijijihivyo ili kujua chanzo ni nini lakini zoezi halikufanikiwa baada ya viongozi Wapande zote Mbili kuvutana na kukataa kumaliza suala hilo.

Ikumbukwe kwamba wizara ya ardhi,Nyumba na Maendeleo ya makazi kupitiaProgramu ya Kuwezesha Umilikishaji Wa ardhi(LTSP) imeweza kuwapimia nakuwapatia ardhi wakazi Wa Wilaya tatu za Kilombero,Ulanga na Malinyi na zoezihilo linatarajia kufikia tamati mwezi Juni mwaka huu.

Hata hivyo maeneo mengi ya vijiji yameshapimwa na maeneo yanayopimwa ni yaleyasiyokuwa na migogoro ya ardhi ila kwa sasa mgogoro huo Wa mipaka ya ardhibado upo katika vijiji vya Viwanja 60 kilichopo kata ya Kamwene na kijiji chaMpanga kilichopo kata ya Utengule.

Eneo linalogombewa ni kitongoji cha Utatala ambacho kwa sasa kina wakaziwengi na wakazi hao wanapata huduma za msingi katika vijiji vya kata zote Mbilihivyo kila kijiji kuona kuwa wakazi hao wanafaa kuitikia katika kijiji chake.

Akisoma taarifa ya mgogoro huo,Afisa Mipango miji katika halmashauri hiyoRemigi Lipiki alisema mgogoro ni Wa muda mrefu na kiini cha mgogoro upimaji Wamipaka uliofanywa kati ya mwaka 1996 na 1999 ambapo zoezi lilifanyika wilayanzima.

Lipiki alisema mwaka 2012 baada ya kupima maeneo ya Mpango Wa matumizi boraya ardhi ulioandaliwa na SAGCOT ndipo ilipokuja kubainika kuwa kuna muingilianoWa mipaka baina ya vijiji hivyo viwili.

Alisema katika zoezi la mpango mpya Wa LTSP ndipo walipokutana na pandeMbili kwa nyakati tofauti na kuunda timu katika kila kijiji ili kuliweka Sawasuala hilo lakini hamna makubaliano yaliyopatikana.

Lipiki amebainisha kuchelewa kwa makubaluano hayo ndipo kunapocheleweshakuwapimia wananchi ardhi yao na kuwapatia hati kwani baada ya zoezi kuishahakutakuwa na marudio tena ya kuwapimia wananchi maeneo yao bure.

Akizungumza na wajumbe Wa serikali za vijiji vyote viwili,Ihunyo alisemainaonyesha viongozi wanalichukulia suala hilo mtaji Wa kisiasa ukizingatia kuwamwishoni mwa mwaka huu kuna chaguzi ndogo za serikali za vitongoji na vijiji.

Ihunyo alisema tarehe 14 mwezi huu ataandaa mkutano Wa vijiji vyote viwilina wananchi watateua timu kutoka pande zote Mbili ili kuamua mipaka yao kwaniimeonekana viongozi wameshindwa na hali hii inaumiza wananchi ambao wao ndiowengi na wanahitaji kupimiwa maeneo yao na kupatiwa hati.

Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa