• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Wakurugenzi Kilombero wakabidhiana ofisi

Posted on: August 23rd, 2018

Pichani juu: Mkurugenzi anaemaliza muda wake ndugu Dennis Londo kushoto, akisaini kalabrasha la makabidhiano huku upande wa kulia mhandisi Stephano Kaliwa mkurugenzi mpya, nae akisaini kalabrasha hilo kuonyesha kulipokea, wakati katikati ni mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero akifuatilia kwa makini makabidhiano hayo.

Katika hali ya kuonyesha ushirikiano, mkurugenzi mpya wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero mhandisi Stephano kaliwa, ametoa shukrani zake za dhati kwa mkurugenzi aliyemaliza muda wake ndugu Dennis Londo, katika hafla fupi ya makabidhiano ya ofisi ya halmashauri ya wilaya ya Kilombero.

Hafla hiyo imefanyika mapema leo katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero ikiwashirikisha wakurugenzi wote anaemaliza muda wake ndugu Dennis London na mkurugenzi mpya mhandisi Stephano Kaliwa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero pamoja na wakuu wa idara zote za Halmashauri.

Aidha katika makabidhiano hayo Mhandisi Kaliwa amesema kuwa, katika kuongoza Halmashauri au uongozi wa chochote kile unahitaji uvumilivu mkubwa sana, hivyo akamuomba  ndugu Londo, kumsaidia popote pale atakapohitaji msaada wake katika masuala mazima ya kuendesha halmashauri hiyo.

Aidha aliwashukuru pia watendaji wote wa halmashauri hii kwa kumpokea kwa furaha na kuonyesha ushirikiano katika kipindi chote kifupi alichofika kwenye halmashauri hiyo mpaka hii leo ambapo hakuona dosari yoyote ile.

Nae mkurugenzi anaemaliza muda wake ndugu Dennis Londo katika hotuba yake pia aliwashukuru sana wakuu wa Idara zote kwa ushirikiano waliomuonyesha tangu anafika mpaka muda huu ambao alikuwa akiwaaga na kusema kuwa hakika aliishi Kilombero huku akiwachukulia kama ndugu zao, na kuahidi kushirikiana nao popote pale atakapohitajika kufanya hivyo.

Hata hivyo mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, hakusita kutoa shukrani zake kwa mkurugenzi anaemaliza muda wake huku akichukua fursa hiyo, kumkaribisha mkurugenzi mpya katika Halmashauri hiyo na kumhakikishia ushirikiano mkubwa kutoka kwa madiwani Kilombero.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa