• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Waziri Mabula awataka watumiaji wa vyombo vya moto kuwa makini barabarani

Posted on: February 26th, 2019

Naibu Waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Mheshimiwa Angela Mabula amewataka watumiaji wote wa vyombo vya moto vikiwemo magari, pikipiki na bajaji,wawe makini pindi wanapokuwa barabarani ili kuweza kuzuia utokeaji wa ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikileta maafa makubwa katika Taifa.

 Waziri Mabula ameyasema hayo  alipokuwa katika shughuri za kuaga miili tisa ya marehehemu, iliyofanyika katika uwanja wa CCM Tangani, uliopo Ifakara mjini ambao  walifariki 23/2/2019 kufuatia ajali ya gari iliyotokea katika mto Kikwawila ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Kilombero.

Aidha viongozi mbalimbali walihudhuria akiwemo Katibu mkuu wa wizara ya ardhi, Katibu tawala wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya (Malinyi,Kilombero na Ulanga),Viongozi wa dini pamoja na Viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ambao walishirikiana kwa uweledi ili kuhakikisha kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa, licha ya kuwepo kwa majonzi na huzuni kwa kila aliyekuwepo katika eneo hilo.

Pia waziri Mabula amesema kuwa wao kama Serikali wameahidi kugharamia gharama zote za Mazishi kwa marehemu wote na kuhakikisha kila hatua watashirikiana na ndugu wa marehemu ili kufanikisha shughuri ya mazishi ya kila mmoja yanafanyika kwa amani, ambapo gharama zote za mazishi kwa miili yote imefikia kiasi cha shilingi millioni tisini na sita, ikwemo kukodisha ndege mbili kwaajili ya kupeleka miili mafia na ukeerewe.

Akifafanua Zaidi juu ya baadhi ya miili kupelekwa kwa ndege na mingine kupelekwa kwa magari, waziri huyo alisema kuwa usafirishaji wa miili hiyo kuelekea ukerewe na mafia ni mgumu sana hivyo ingeweza kupelekea maiti hizo kucheleweshwa kuzikwa ukilinganisha na maeneo kama Mbeya, dar es salaam na Iringa ambapo miili mingine imepelekwa.

Hata hivyo waziri ametoa pole kwa watumishi wote waliofikwa na msiba huo pamoja na ndugu,jamaa na marafiki ambao wameguswa na msiba huo na kuwaomba washirikiane kuombea Taifa kwa ujumla ili lisiwe na ajali kama zinazotokea sasa.

Sanjari na hayo amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kilombero ndugu James Ihunyo kwa kuwahi kufika katika eneo la tukio mara baada ya kusikia taarifa za ajali na kushirikiana na watu waloikuwa wakijaribu kunusuru maisha ya watu hao waliopata ajali.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa